Mhe. Hemed amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Tanga Kuwachukulia hatua watendaji wa CCM wasio waaminifu .

Mlezi wa Mkoa wa Tanga ambae pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla alitoa agizo hilo wakati akizungumza na viongozi Pamoja na wanachama wa wilaya ya Handeni katika Ukumbi wa Mikutano wa Makuti uliopo Handeni Mjini. Katika kulitekeleza hilo Mhe. Makamu wa Pili wa Rais alimtaka Mkuu wa Mkoa